Uviko-19 bado unaitesa dunia
March 16, 2023 1:05 pm ·
Lucy Samson
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 760 wameambukizwa ugonjwa huo duniani.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Machi 16 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa.

Latest
4 hours ago
·
Waandishi Wetu
Sababu Kagera kununua mafuta kwa bei ya juu
7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 9, 2026
18 hours ago
·
Lucy Samson
Paul Makonda ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
22 hours ago
·
Goodluck Gustaph
Fahamu faida za kutumia mifumo rasmi ya fedha