Uviko-19 bado unaitesa dunia
March 16, 2023 1:05 pm ·
Lucy Samson
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 760 wameambukizwa ugonjwa huo duniani.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Machi 16 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa.

Latest
9 hours ago
·
Lucy Samson
Hatari inayowakabili wanaotumia vilainishi kama mbadala wa kondomu Tanzania
11 hours ago
·
Lucy Samson
Precision Air yasitisha safari za ndege Nairobi
16 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Wafanyabiashara Kariakoo watii maagizo wahama barabarani
18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Februari 17, 2026