Sababu za wanyama kuhusika katika utengenezaji wa chanjo ya Corona

January 2, 2021 7:34 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Zipo sababu mbalimbali zinazowafanya watafiti kutumia wanyama wakati wa utengenezaji wa chanjo mbalimbali ikiwemo ya COVID-19. Sababu mojawapo ni kuwa inawasaidia watafiti kufahamu kwa undani kuhusu ugonjwa husika na jinsi chanjo inavyoweza kufanya kazi ikianza kutumiwa na binadamu. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

🔴LIVE: LIVE:WABUNGE WAKIWACHAPA MASWALI MAWAZIRI | Bunge la 13 | Kikao cha 28

Nukta TV

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Top 10 ya magari yanayotumia kiwango kidogo cha mafuta

Nukta TV

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

SGR yaingizia Serikali Sh169.37 bilioni tangu kuanza kwa safari Juni 2024

Nukta TV