Sababu za wanyama kuhusika katika utengenezaji wa chanjo ya Corona

January 2, 2021 7:34 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Zipo sababu mbalimbali zinazowafanya watafiti kutumia wanyama wakati wa utengenezaji wa chanjo mbalimbali ikiwemo ya COVID-19. Sababu mojawapo ni kuwa inawasaidia watafiti kufahamu kwa undani kuhusu ugonjwa husika na jinsi chanjo inavyoweza kufanya kazi ikianza kutumiwa na binadamu. 

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW