Sababu za wanyama kuhusika katika utengenezaji wa chanjo ya Corona
January 2, 2021 7:34 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Zipo sababu mbalimbali zinazowafanya watafiti kutumia wanyama wakati wa utengenezaji wa chanjo mbalimbali ikiwemo ya COVID-19. Sababu mojawapo ni kuwa inawasaidia watafiti kufahamu kwa undani kuhusu ugonjwa husika na jinsi chanjo inavyoweza kufanya kazi ikianza kutumiwa na binadamu.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka