Namna ya kuripoti kwa usahihi habari za Corona
January 2, 2021 6:46 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ili utoaji wa chanjo dhidi ya COVID-19 upate mafanikio unahitaji wadau mbalimbali zikiwemo taasisi za afya kutimiza wajibu wake. Lakini waandishi wa habari nao wana sehemu yao katika kutoa habari sahihi kuhusu chanjo hiyo.
Hizi ni baadhi ya dondoo zinazoweza kuwasaidia wakati wakiripoti kuhusu chanjo ya COVID-19:

Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Shilingi tulivu dhidi ya Dola ya Marekani Mei 7, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii