Mambo ya kufahamu kuhusu chanjo ya Covid-19

January 22, 2021 10:19 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mengi yanazungumziwa kuhusu chanjo ya Covid-19 yakiwemo muda ambao umetumika katika kutengeneza chanjo hiyo ikilinganishwa na chanjo ya magojwa mengine yanayosababishwa na virusi ukiwemo Ukimwi.

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa chanjo ya Covid-19 inayoendelea kutolewa katika baadhi ya nchi duniani inaambatana na masharti kwa kuwa chanjo hiyo haiwezi kumfaa kila mtu.

Katika andiko la WHO linalozungumzia namna chanjo hiyo inavyofanya kazi, shirika hilo limesema chanjo hiyo isitolewe kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi na wale wenye saratani.

Hata hivyo, watu hao bado wanaweza kubaki salama pale watakapoishi miongoni mwa jamii iliyopewa chanjo.

Jifunze zaidi kwa kutazama video hii.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV

Rais Samia: Anzisheni mfuko  kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Rais Samia: Anzisheni mfuko kuwasaidia wafungwa wenye ujuzi wanapotoka gerezani

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

🔴LIVE: RAIS SAMIA AKIHITIMISHA MAFUNZO YA UONGOZI NGAZI YA JUU, UONGOZI DARAJA LA PILI KOZI 2025/26

Nukta TV