Mambo ya kufahamu kuhusu chanjo ya Covid-19

January 22, 2021 10:19 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mengi yanazungumziwa kuhusu chanjo ya Covid-19 yakiwemo muda ambao umetumika katika kutengeneza chanjo hiyo ikilinganishwa na chanjo ya magojwa mengine yanayosababishwa na virusi ukiwemo Ukimwi.

Shirika la Afya Duniani (WHO) limeeleza kuwa chanjo ya Covid-19 inayoendelea kutolewa katika baadhi ya nchi duniani inaambatana na masharti kwa kuwa chanjo hiyo haiwezi kumfaa kila mtu.

Katika andiko la WHO linalozungumzia namna chanjo hiyo inavyofanya kazi, shirika hilo limesema chanjo hiyo isitolewe kwa watu wanaoishi na virusi vya Ukimwi na wale wenye saratani.

Hata hivyo, watu hao bado wanaweza kubaki salama pale watakapoishi miongoni mwa jamii iliyopewa chanjo.

Jifunze zaidi kwa kutazama video hii.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Kwa nini wanawake wako katika hatari zaidi kupata magonjwa ya akili?

Nukta TV

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

🔴LIVE: HOMERA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA BUNGENI

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.