Ruvuma,Iringa kicheko bei ya Mahindi
October 21, 2024 6:39 pm ·
Fatuma Hussein
Dar es Salaam. Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Ruvuma na Iringa itakulazimu kulipia Sh48,000 ambayo ni mara 20 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Dar es Salaam, Kilimanjaro na Pwani ya Sh100,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado ni maumivu baada ya kurekodiwa kuuzwa kwa Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapokea simu za matusi 300 baada ya ripoti
4 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Chande aeleza sababu tume kutotaja majina ripoti ya vurugu Oktoba 29
4 hours ago
·
Fatuma Hussein
Balozi James: Hakuna Mtanzania aliyeshambuliwa Afrika kusini
10 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya fedha za kigeni vyabaki tulivu, baadhi ya sarafu zapanda kidogo Aprili 28