Ruvuma,Iringa kicheko bei ya Mahindi
October 21, 2024 6:39 pm ·
Fatuma Hussein
Dar es Salaam. Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Ruvuma na Iringa itakulazimu kulipia Sh48,000 ambayo ni mara 20 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Dar es Salaam, Kilimanjaro na Pwani ya Sh100,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado ni maumivu baada ya kurekodiwa kuuzwa kwa Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest

10 hours ago
·
Esau Ng'umbi
Rais Samia ataja mafunzo matano kwa viongozi wa sasa kujifunza kwa Hayati Msuya

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
INEC yaongeza majimbo Tanzania, Bunge likifikia wabunge zaidi 400

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Wizara ya Elimu yaomba bajeti ya zaidi Sh2.4 trilioni 2025/26

3 days ago
·
Fatuma Hussein
ACT-Wazalendo wazidi kukomaa na Serikali ripoti ya CAG