Ruvuma,Iringa kicheko bei ya Mahindi

October 21, 2024 6:39 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Ruvuma na Iringa itakulazimu kulipia Sh48,000 ambayo ni mara 20 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Dar es Salaam, Kilimanjaro na Pwani ya Sh100,000 kwa gunia la kilo 100.

Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado ni maumivu baada ya kurekodiwa kuuzwa kwa Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

/
No matches found for this filter
22 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
23 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
23 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA YA KIPOLISI ILIYOONGOZA KWA MATUKIO BARABARANI TANZANIA BARA 2025

MIKOA YA KIPOLISI ILIYOONGOZA KWA MATUKIO BARABARANI TANZANIA BARA 2025

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV

MIKOA 5 ILIYOONGOZA KWA MATUKIO BARABARANI 2025 TANZANIA BARA

MIKOA 5 ILIYOONGOZA KWA MATUKIO BARABARANI 2025 TANZANIA BARA

Nukta TV