Ruvuma,Iringa kicheko bei ya Mahindi
October 21, 2024 6:39 pm ·
Fatuma Hussein
Dar es Salaam. Kununua gunia la mahindi la kilo 100 mkoani Ruvuma na Iringa itakulazimu kulipia Sh48,000 ambayo ni mara 20 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Dar es Salaam, Kilimanjaro na Pwani ya Sh100,000 kwa gunia la kilo 100.
Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado ni maumivu baada ya kurekodiwa kuuzwa kwa Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Latest
16 hours ago
·
Lucy Samson
BoT yatangaza nafasi za ajira 83
17 hours ago
·
Waandishi Wetu
Mapendekezo ya tume kudhibiti matumizi mseto ya ardhi Ngorongoro
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 12, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu