Rais Samia kufanya ziara Afrika kusini kushuhudia uapisho wa Ramaphosa

June 18, 2024 2:12 pm · admin
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni ziara ya kikazi ya siku moja
  • Uapisho kufanyika Juni 19, 2024

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anatarajia kuondoka nchini jioni ya leo Jumanne Juni 18, 2024 kwenda Afrika Kusini kwa ziara ya kikazi ya siku moja kwa ajili ya kushiriki hafla ya uapisho wa Rais Mteule, wa taifa hilo Cyril Ramaphosa.

Taarifa iliyotolewa na Sharifa Nyanga, ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu imebainisha kuwa Rais Samia atashiriki hafla hiyo itakayofanyika kesho Jumatano Juni 19, 2024 baada ya Ramaphosa kuchaguliwa tena kuwa Rais wa nchi hiyo.

Ramaphosa alichaguliwa tena kuwa Rais wa Afrika Kusini na Bunge la nchi hiyo Ijumaa ya Juni 14, 2024 kufuatia makubaliano kati ya chama tawala cha African National Congress (ANC) na vyama vya upinzani mara baada ya kushindwa kupata zaidi ya asilimia 51 ya kura inayohitajika ili kuunda Serikali.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
13 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
13 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

🔴LIVE: HII HAPA BAJETI KUU YA SERIKALI 2026/2027

Nukta TV

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Mashine za kukaushia rangi za kucha kutozwa ushuru kwa asilimia 10

Nukta TV

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Wazee wa 'kubet' hii inawahusu, 5% kutozwa kwenye dau la kamari

Nukta TV