Namna uzushi kuhusu Corona unavyosambaa kwenye mtandao wa WhatsApp

January 7, 2021 10:12 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Huanza na mtu mmoja ambaye hutuma ujumbe kwa rafiki akiwa na lengo la kumkinga na ugonjwa wa Corona.
  • Ujumbe huo huendelea kusambaa pale mtu aliyetumiwa anaamua kuusambaza kwa wengine.
  • Taharuki huibuka na kusababisha watu kufanya maamuzi magumu.

Dar es Salaam. Kama unatumia simu kusoma makala hii fupi, bila shaka ni mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa WhatsApp na mara nyingi umekutana na ujumbe kuhusu virusi vya COVID-19.

Jumbe hizo ambazo husambaa zaidi katika makundi sogozi (groups) ya mtandaoni humo huwa sababu ya taharuki kwa wengi na kuwafanya watu kukosa amani na maisha kwa kuchukua maamuzi magumu.

Tazama video hii kujifunza zaidi.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV