Namna uzushi kuhusu Corona unavyosambaa kwenye mtandao wa WhatsApp

January 7, 2021 10:12 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Huanza na mtu mmoja ambaye hutuma ujumbe kwa rafiki akiwa na lengo la kumkinga na ugonjwa wa Corona.
  • Ujumbe huo huendelea kusambaa pale mtu aliyetumiwa anaamua kuusambaza kwa wengine.
  • Taharuki huibuka na kusababisha watu kufanya maamuzi magumu.

Dar es Salaam. Kama unatumia simu kusoma makala hii fupi, bila shaka ni mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa WhatsApp na mara nyingi umekutana na ujumbe kuhusu virusi vya COVID-19.

Jumbe hizo ambazo husambaa zaidi katika makundi sogozi (groups) ya mtandaoni humo huwa sababu ya taharuki kwa wengi na kuwafanya watu kukosa amani na maisha kwa kuchukua maamuzi magumu.

Tazama video hii kujifunza zaidi.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
15 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
15 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV