Namna uzushi kuhusu Corona unavyosambaa kwenye mtandao wa WhatsApp

January 7, 2021 10:12 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Huanza na mtu mmoja ambaye hutuma ujumbe kwa rafiki akiwa na lengo la kumkinga na ugonjwa wa Corona.
  • Ujumbe huo huendelea kusambaa pale mtu aliyetumiwa anaamua kuusambaza kwa wengine.
  • Taharuki huibuka na kusababisha watu kufanya maamuzi magumu.

Dar es Salaam. Kama unatumia simu kusoma makala hii fupi, bila shaka ni mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa WhatsApp na mara nyingi umekutana na ujumbe kuhusu virusi vya COVID-19.

Jumbe hizo ambazo husambaa zaidi katika makundi sogozi (groups) ya mtandaoni humo huwa sababu ya taharuki kwa wengi na kuwafanya watu kukosa amani na maisha kwa kuchukua maamuzi magumu.

Tazama video hii kujifunza zaidi.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV