Namna uzushi kuhusu Corona unavyosambaa kwenye mtandao wa WhatsApp
January 7, 2021 10:12 am ·
Rodgers Raphael
- Huanza na mtu mmoja ambaye hutuma ujumbe kwa rafiki akiwa na lengo la kumkinga na ugonjwa wa Corona.
- Ujumbe huo huendelea kusambaa pale mtu aliyetumiwa anaamua kuusambaza kwa wengine.
- Taharuki huibuka na kusababisha watu kufanya maamuzi magumu.
Dar es Salaam. Kama unatumia simu kusoma makala hii fupi, bila shaka ni mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa WhatsApp na mara nyingi umekutana na ujumbe kuhusu virusi vya COVID-19.
Jumbe hizo ambazo husambaa zaidi katika makundi sogozi (groups) ya mtandaoni humo huwa sababu ya taharuki kwa wengi na kuwafanya watu kukosa amani na maisha kwa kuchukua maamuzi magumu.
Tazama video hii kujifunza zaidi.
Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
2 weeks ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026