Fanya haya kuepuka kufungiwa akaunti zako za mitandao kijamii

January 14, 2021 10:14 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kutokana na taharuki, kutaka kuwalinda uwapendao na hata kuwa msamalia mwema, huenda umewahi kutaka kutuma ujumbe unaohusu Corona ambao hauna uhakika nao. 

Usilolijua ni kuwa, kwa sasa mitandoa ya kijamii ikiwemo Instagram, Youtube na Facebook imeweka sheria kali dhidi ya kusambaza taarifa za uzushi kuhusu ugonjwa huo.

Mathalan, mtandao wa kupakia habari video wa YouTube hutoa onyo pale mtu anapokuwa anataka kutuma maudhui yanayohusiana na ugonjwa wa Corona na kisha kutoa adhabu ya kufungiwa kwa wiki moja au zaidi ikiwa atajaribu kuweka maudhui yasiyofaa.

Ili kuepukana na kufungiwa mitandao yako ya kijamii, unahitaji kuwa makini kwa kuthibitisha habari zako kwa kutumia zana za kidijitali zikiwemo TinEye na Google reverse Image.

Kufahamu zaidi, tazama video hii.

/
No matches found for this filter
26 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
26 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV