Njia mbadala za kusalimiana kujiepusha na Corona

January 7, 2021 6:16 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Ni ukweli kuwa kutoshikana mikono au kugusana ni njia mojawapo ya kuepuka maambukizi ya virusi vya Corona (COVID-19), lakini watu wasisalimiane? 

Hapana, watu wanaweza kuendelea kusalimiana kwa njia tofauti hasa na wageni wanaotoka nje. Ili kuendelea kujikinga na janga hilo, Tumia njia hizi kusalimiana na mtu wa karibu yako:

Follow Us on TikTok

FOLLOW NOW

Subscribe to Our YouTube Channel

SUBSCRIBE NOW