Nini kinafuata baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II
September 9, 2022 1:50 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Baada ya Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza kufariki dunia jana Septemba 8, 2022, mtoto mkubwa Mwanamfalme Charles amechukua nafasi yake na kuwa mfalme mpya wa familia ya kifalme ya Taifa hilo la Ulaya.
Malkia Elizabeth wa pili amehudumu katika nafasi hiyo tangu mwaka 1952. kwa sasa Mfalme Charles atasimamia shughuli zote za mazishi ya mama yake na kutangaza siku za mapumziko ya kitaifa kwa familia ya kifalme.
Baada ya Mfalme Charles nani atafuata katika utawala huo?

Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Shilingi tulivu dhidi ya Dola ya Marekani Mei 7, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii