Nini kinafuata baada ya kifo cha Malkia Elizabeth II
September 9, 2022 1:50 pm ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Baada ya Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza kufariki dunia jana Septemba 8, 2022, mtoto mkubwa Mwanamfalme Charles amechukua nafasi yake na kuwa mfalme mpya wa familia ya kifalme ya Taifa hilo la Ulaya.
Malkia Elizabeth wa pili amehudumu katika nafasi hiyo tangu mwaka 1952. kwa sasa Mfalme Charles atasimamia shughuli zote za mazishi ya mama yake na kutangaza siku za mapumziko ya kitaifa kwa familia ya kifalme.
Baada ya Mfalme Charles nani atafuata katika utawala huo?

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
