Necta: Matokeo kidato cha nne mwaka 2022 sasa hadharani
January 29, 2023 6:28 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022 huku asilimia 37% tu ya watahiniwa wakifaulu kwa madaraja ya I hadi III.
Idadi hiyo ya wanafunzi waliopata madaraja hayo ya juu ya ufaulu ni sawa na watahiniwa 192,348.

Endelea kufuatilia matokeo ya kidato cha nne hapa.
Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka