Necta: Matokeo kidato cha nne mwaka 2022 sasa hadharani
January 29, 2023 6:28 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022 huku asilimia 37% tu ya watahiniwa wakifaulu kwa madaraja ya I hadi III.
Idadi hiyo ya wanafunzi waliopata madaraja hayo ya juu ya ufaulu ni sawa na watahiniwa 192,348.
​
Endelea kufuatilia matokeo ya kidato cha nne hapa.Â