Necta: Matokeo kidato cha nne mwaka 2022 sasa hadharani

January 29, 2023 6:28 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022 huku asilimia 37% tu ya watahiniwa wakifaulu kwa madaraja ya I hadi III.

Idadi hiyo ya wanafunzi waliopata madaraja hayo ya juu ya ufaulu ni sawa na watahiniwa 192,348.

Endelea kufuatilia matokeo ya kidato cha nne hapa. 

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...