Necta: Matokeo kidato cha nne mwaka 2022 sasa hadharani
January 29, 2023 6:28 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022 huku asilimia 37% tu ya watahiniwa wakifaulu kwa madaraja ya I hadi III.
Idadi hiyo ya wanafunzi waliopata madaraja hayo ya juu ya ufaulu ni sawa na watahiniwa 192,348.

Endelea kufuatilia matokeo ya kidato cha nne hapa.
Latest
6 hours ago
·
Lucy Samson
Rais Samia aunda tume ya uchunguzi wa makosa ya kijinai ya Oktoba 29
7 hours ago
·
Lucy Samson
Tanzania mwenyeji mkutano mkubwa wa Africa Agri Expo 2026
7 hours ago
·
Fatuma Hussein
Serikali ya Tanzania yatangaza tahadhari, Ebola ikisambaa DRC, Uganda
13 hours ago
·
Fatuma Hussein
Magari 10 yanayotumia mafuta kidogo