Necta: Matokeo kidato cha nne mwaka 2022 sasa hadharani
January 29, 2023 6:28 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha nne mwaka 2022 huku asilimia 37% tu ya watahiniwa wakifaulu kwa madaraja ya I hadi III.
Idadi hiyo ya wanafunzi waliopata madaraja hayo ya juu ya ufaulu ni sawa na watahiniwa 192,348.

Endelea kufuatilia matokeo ya kidato cha nne hapa.
Latest
12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nchi 10 zilizoongoza kwa uwekezaji (FDI) Tanzania 2024
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Brela yatangaza mfumo mpya utoaji huduma leseni kundi ‘A’
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Tume ya Chande yapendekeza katiba mpya kabla ya 2028