Namna ya kushiriki michezo kwa ufanisi wakati wa janga la Corona

December 24, 2020 7:43 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, mtu anaweza kuendelea kufanya mazoezi lakini kwa kuchukua thadhari.

Dar es Salaam. Mazoezi ni muhimu kwa kila mtu katika kuijenga afya ya mwili na akili. Hata katika kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa Corona, bado una uwezo wa kufanya mazoezi ili kubaki fiti na mwenye afya.

Ili kuwa salama, unahitaji kufanya mazoezi na shuguli zako za michezo sehemu ambayo itakuwezesha kujikinga na maambukizi ya COVID-19.  

Unawezaje kubaki na afya yako? Tazama video hii kujifunza.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

🔴LIVE: ULEGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA ULINZI NA IKISOMWA BUNGENI

Nukta TV

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Fahamu kuhusu Virusi vya ‘Hantavirus’ na nini chanzo chake ?

Nukta TV