Namna ya kushiriki michezo kwa ufanisi wakati wa janga la Corona

December 24, 2020 7:43 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, mtu anaweza kuendelea kufanya mazoezi lakini kwa kuchukua thadhari.

Dar es Salaam. Mazoezi ni muhimu kwa kila mtu katika kuijenga afya ya mwili na akili. Hata katika kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa Corona, bado una uwezo wa kufanya mazoezi ili kubaki fiti na mwenye afya.

Ili kuwa salama, unahitaji kufanya mazoezi na shuguli zako za michezo sehemu ambayo itakuwezesha kujikinga na maambukizi ya COVID-19.  

Unawezaje kubaki na afya yako? Tazama video hii kujifunza.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV