Namna ya kushiriki michezo kwa ufanisi wakati wa janga la Corona

December 24, 2020 7:43 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, mtu anaweza kuendelea kufanya mazoezi lakini kwa kuchukua thadhari.

Dar es Salaam. Mazoezi ni muhimu kwa kila mtu katika kuijenga afya ya mwili na akili. Hata katika kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa Corona, bado una uwezo wa kufanya mazoezi ili kubaki fiti na mwenye afya.

Ili kuwa salama, unahitaji kufanya mazoezi na shuguli zako za michezo sehemu ambayo itakuwezesha kujikinga na maambukizi ya COVID-19.  

Unawezaje kubaki na afya yako? Tazama video hii kujifunza.

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Wabunge waliokwenda Morocco bila kibali kikaangoni , utoro ukiibuliwa bungeni

Nukta TV

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Mfahamu Leonard Mususa Alama ya Ungozi iliyoacha majonzi kwa 'MACEOs' Tanzania

Nukta TV

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Bei za mafuta mwezi Juni hizi hapa, dizeli ikipaa kwa Sh85

Nukta TV