Namna ya kushiriki michezo kwa ufanisi wakati wa janga la Corona
December 24, 2020 7:43 am ·
Rodgers Raphael
- Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani, mtu anaweza kuendelea kufanya mazoezi lakini kwa kuchukua thadhari.
Dar es Salaam. Mazoezi ni muhimu kwa kila mtu katika kuijenga afya ya mwili na akili. Hata katika kipindi cha mlipuko wa ugonjwa wa Corona, bado una uwezo wa kufanya mazoezi ili kubaki fiti na mwenye afya.
Ili kuwa salama, unahitaji kufanya mazoezi na shuguli zako za michezo sehemu ambayo itakuwezesha kujikinga na maambukizi ya COVID-19. Â
Unawezaje kubaki na afya yako? Tazama video hii kujifunza.
Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026