Fanya haya kuimarisha afya wakati wa Uviko-19
September 24, 2022 10:01 am ·
Mwandishi
- Ni pamoja na kula mlo kamili na kufanya mazoezi.
Dar es Salaam. Kuwa na afya njema ni kitu muhimu hasa kwa wakati huu ambapo ulimwengu upo katika mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko- 19 unaoendelea kuleta athari za kiafya, vifo na hata kiuchumi.
Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) linaeleza kuwa ili mtu awe afya njema wakati huu ni pamoja kula mlo kamili na kufanya mazoezi.

Latest
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Mei 8
3 days ago
·
Fatuma Hussein
Shilingi tulivu dhidi ya Dola ya Marekani Mei 7, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Bei ya petroli,dizeli yapaa Serikali ikiweka ruzuku ya Sh259
6 days ago
·
Fatuma Hussein
Watatu wafariki katika mlipuko wa ‘hantavirus’ ndani ya meli ya kitalii