Yakuzingatia unapoandaa kikao wakati wa Corona
December 7, 2021 1:18 pm ·
Herimina
Dar es salaam. Ikiwa taasisi au mtu binafsi una mpango wa kuandaa kikao au mkutano wakati huu wa janga la Uviko-19, ni muhimu kuzingatia taratibu za kujikinga dhidi ya janga hilo.
​Taratibu hizo ni pamoja na kuhakikisha kuwa kikao kinahudhuriwa na watu wachache ili kuachiana umbali wa mtu na mtu.
