Mbinu za kudhibiti mafamba ya chanjo ya Covid-19 kwa njia ya WhatsApp

June 17, 2021 11:56 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuepuka kusambaza ujumbe ambao hauna uhakika nao.
  • Pia kuepuka makundi sogozi ambayo yanakawaida ya kutuma habari za uongo.

Dar es Salaam. Kwa kuwa WhatsApp ni sehemu ya maisha ya watumiaji wa simu janja, mtandao huo pia umekuwa ni mojawapo wa nyenzo kuu za mawasiliano na utoaji wa taarifa kwa wengi.

Mtandao huo unaoruhusu mawasiliano binafsi na ya vikundi umekuwa ni mtandao muhimu kwa ajili ya kuwasiliana.

Hata hivyo, baadhi ya wapotoshaji hutumia WhatsApp kupotosha kwa kutuma habari zisizo na ukweli zikiwemo habari kuhusiana na chanjo za ugonjwa wa Corona.

Miongoni mwa habari hizo ni madhara na video za kuzua taharuki zinazohusiana na chanjo ya Corona na picha za kutishia watu zinazohusiana na ugonjwa wa Covid-19.

Unawezaje kuzuia usambaaji wa habari hizo (mafamba) zenye madhara kwa watu unaowasiliana nao? Tazama video hii kuepuka kuingia “mkenge”.

                         

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
25 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
26 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV