Ufanye nini unapopokea ujumbe kuhusu COVID-19 kwa njia ya WhatsApp?

November 26, 2020 12:18 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mtandao wa WhatsApp ni kati ya mitandao inayotumiwa na watu wengi duniani huku takwimu zikitaja mtandao huo kutumiwa na watu zaidi ya bilioni 1.5 duniani. Hayo ni mafanikio makubwa ya kiteknolojia.

Hata hivyo, ni miongoni mwa mitandao ya kijamii ambayo hutumiwa na watu kusambaza habari za uzushi kuhusu Corona. 

Kama wewe ni miongoni wa watumiaji wa mtandao huo, una nafasi nzuri ya kukabiliana na habari za uzushi kwa kuongeza umakini kila unapopokea habari. 

Ufanye nini unapokutana na ujumbe wa aina hiyo? Tazama video hii:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
19 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
19 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MNAOSEMA Magufuli mbali hii inawahusu! Meneja atia neno

MNAOSEMA Magufuli mbali hii inawahusu! Meneja atia neno

Nukta TV

Hakuna mwenye kibali cha kupakia abiria nje ya Stendi ya Magufuli

Hakuna mwenye kibali cha kupakia abiria nje ya Stendi ya Magufuli

Nukta TV

Hali ilivyo Stendi ya Magufuli, utaratibu wa kupakia abiria upo hivi!

Hali ilivyo Stendi ya Magufuli, utaratibu wa kupakia abiria upo hivi!

Nukta TV