Ufanye nini unapopokea ujumbe kuhusu COVID-19 kwa njia ya WhatsApp?

November 26, 2020 12:18 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mtandao wa WhatsApp ni kati ya mitandao inayotumiwa na watu wengi duniani huku takwimu zikitaja mtandao huo kutumiwa na watu zaidi ya bilioni 1.5 duniani. Hayo ni mafanikio makubwa ya kiteknolojia.

Hata hivyo, ni miongoni mwa mitandao ya kijamii ambayo hutumiwa na watu kusambaza habari za uzushi kuhusu Corona. 

Kama wewe ni miongoni wa watumiaji wa mtandao huo, una nafasi nzuri ya kukabiliana na habari za uzushi kwa kuongeza umakini kila unapopokea habari. 

Ufanye nini unapokutana na ujumbe wa aina hiyo? Tazama video hii:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
9 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
9 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Ulinzi waimarishwa Dar, maduka yachelewa kufunguliwa

Nukta TV

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV