Ufanye nini unapopokea ujumbe kuhusu COVID-19 kwa njia ya WhatsApp?

November 26, 2020 12:18 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mtandao wa WhatsApp ni kati ya mitandao inayotumiwa na watu wengi duniani huku takwimu zikitaja mtandao huo kutumiwa na watu zaidi ya bilioni 1.5 duniani. Hayo ni mafanikio makubwa ya kiteknolojia.

Hata hivyo, ni miongoni mwa mitandao ya kijamii ambayo hutumiwa na watu kusambaza habari za uzushi kuhusu Corona. 

Kama wewe ni miongoni wa watumiaji wa mtandao huo, una nafasi nzuri ya kukabiliana na habari za uzushi kwa kuongeza umakini kila unapopokea habari. 

Ufanye nini unapokutana na ujumbe wa aina hiyo? Tazama video hii:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
9 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
9 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mtihani darasa la saba kuanza kesho, 1,168,649 wakitarajiwa kuufanya

Mtihani darasa la saba kuanza kesho, 1,168,649 wakitarajiwa kuufanya

Nukta TV

Ajali yaua wanne Dar, watano wafariki mgodi wa dhahabu Gairo

Ajali yaua wanne Dar, watano wafariki mgodi wa dhahabu Gairo

Nukta TV

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Nukta TV