Mwenendo wa ugonjwa wa Uviko-19 Tanzania
December 6, 2021 8:55 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Hadi sasa Watanzania 730 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Uviko-19 sawa na asilimia 2.7 ya watu walioripotiwa kupata maambukizi ya ugonjwa huo.
Hadi Desemba 6, 2021, watu 26,270 walikuwa wameambikizwa Uviko-19 tangu ulipoingia nchini Machi 2021.
Kufahamu zaidi, tazama infografia hii:

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka