Mwenendo wa ugonjwa wa Uviko-19 Tanzania
December 6, 2021 8:55 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Hadi sasa Watanzania 730 wamefariki dunia kwa ugonjwa wa Uviko-19 sawa na asilimia 2.7 ya watu walioripotiwa kupata maambukizi ya ugonjwa huo.
Hadi Desemba 6, 2021, watu 26,270 walikuwa wameambikizwa Uviko-19 tangu ulipoingia nchini Machi 2021.
Kufahamu zaidi, tazama infografia hii:Â
