Hali halisi maambukizi ya Uviko-19 duniani
February 28, 2023 6:41 am ·
admin
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 757.2 wameambukizwa ugonjwa huo duniani..
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Februali 22 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa huku vifo 434 vikiripotiwa saa 24 zilizopita.

Latest
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia kushiriki mkutano AU, Tanzania ikimaliza muda wake Baraza la Amani
3 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Februari 12, 2026
4 days ago
·
Fatuma Hussein
Yaliyotekelezwa ndani ya siku 100 za Samia
4 days ago
·
Lucy Samson
Rais Samia ateua wanne kuwa wenyeviti wa bodi