Hali halisi maambukizi ya Uviko-19 duniani
February 28, 2023 6:41 am ·
admin
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 757.2 wameambukizwa ugonjwa huo duniani..
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Februali 22 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa huku vifo 434 vikiripotiwa saa 24 zilizopita.
Latest

12 hours ago
·
Fatuma Hussein
Tumia viwango hivi kubadili fedha za kigeni Juni 4, 2025

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Sh1.61 trilioni kutekeleza vipaumbele 10 wizara ya afya Tanzania

2 days ago
·
Esau Ng'umbi
Lissu kuendelea kusota rumande, uchunguzi uhaini ukiendelea

5 days ago
·
Esau Ng'umbi
CCM yaahidi kutengeneza ajira milioni 8 ifikapo 2030