Hali halisi maambukizi ya Uviko-19 duniani

February 28, 2023 6:41 am · admin
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 757.2 wameambukizwa ugonjwa huo duniani..

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Februali 22 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa huku vifo 434 vikiripotiwa saa 24 zilizopita.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: PROF. MASWALI YA WABUNGE KWA MAWAZIRI | BUNGE LA 13 | KIKAO HA 25

🔴LIVE: PROF. MASWALI YA WABUNGE KWA MAWAZIRI | BUNGE LA 13 | KIKAO HA 25

Nukta TV

Serikali yaanika mpango,kudhibiti kupanda kwa gharama za usafirishaji

Serikali yaanika mpango,kudhibiti kupanda kwa gharama za usafirishaji

Nukta TV

Hatua za Serikali kuhakikisha mafutata yanapatikana wa nchini

Hatua za Serikali kuhakikisha mafutata yanapatikana wa nchini

Nukta TV