Hali halisi maambukizi ya Uviko-19 duniani
February 28, 2023 6:41 am ·
admin
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 757.2 wameambukizwa ugonjwa huo duniani..
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Februali 22 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa huku vifo 434 vikiripotiwa saa 24 zilizopita.
Latest

4 hours ago
·
Lucy Samson
Mkutano wa G25 kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

1 day ago
·
Esau Ng'umbi
From shortage to solution: The role of specialized trainings in Tanzania healthcare revamp

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Rais Samia: Elimu, uongozi visiwasahaulishe wanawake wajibu wa malezi

1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha, Februari 21, 2025