Hali halisi maambukizi ya Uviko-19 duniani
February 28, 2023 6:41 am ·
admin
Dar es Salaam. Maelfu ya watu bado wameendelea kuambukizwa ugonjwa wa Uviko-19 sehemu mbalimbali duniani. Mpaka sasa zaidi ya watu watu milioni 757.2 wameambukizwa ugonjwa huo duniani..
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Februali 22 mwaka huu watu milioni 6.8 wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo unaosambashambulia mfumo wa hewa huku vifo 434 vikiripotiwa saa 24 zilizopita.
Latest

6 hours ago
·
Fatuma Hussein
Serikali ya Tanzania yaendelea kudhibiti, kuhifadhi mbegu asili kwa mustakabali wa kilimo endelevu

9 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Ratiba ya mazishi ya Papa Francis

12 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Nini hufanyika mara baada ya Papa kufariki?

15 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 22, 2025