Muda sahihi wa kunawa, kutakasa mikono
December 13, 2021 9:29 am ·
Rodgers Raphael
- Inashauriwa kunawa mikono kila baada ya kushika sehemu isiyo salama.
- Pia, nawa mikono unapokwenda au unapotoka kwenye mikusanyiko.
Dar es Salaam. Kabla ya ugonjwa wa Uviko-19, huenda kunawa mikono kwa baadhi ya watu ilikuwa kabla na baada ya kula, kujisaidia au pale mtu anaposhika kitu kichafu.
Ujio wa ugonjwa huo umeongeza umuhimu wa kunawa mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka au kujitakasa kwa kutumia vitakasa mikono.
Unafahamu muda sahihi wa kunawa mikono yako?
Latest
6 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
49 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650