Muda sahihi wa kunawa, kutakasa mikono

December 13, 2021 9:29 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Inashauriwa kunawa mikono kila baada ya kushika sehemu isiyo salama.
  • Pia, nawa mikono unapokwenda au unapotoka kwenye mikusanyiko.

Dar es Salaam. Kabla ya ugonjwa wa Uviko-19, huenda kunawa mikono kwa baadhi ya watu ilikuwa kabla na baada ya kula, kujisaidia au pale mtu anaposhika kitu kichafu.

Ujio wa ugonjwa huo umeongeza umuhimu wa kunawa mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka au kujitakasa kwa kutumia vitakasa mikono.

Unafahamu muda sahihi wa kunawa mikono yako? 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta TV