Vifaa vya vitakasa mikono havienezi Uviko-19

February 3, 2023 11:13 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link
  • WHO yasema mtu akipata kitakasa mikono anajiweka salama.
  • Yasisitiza watu kuendelea kutumia.

Dar es Salaam. Huenda umesikia au na wewe ni mmoja wa watu wanaogopa kugusa chupa au vifaa vyenye vitakasa mikono (sanitizers) katika maeneo ya umma kwa madai kuwa vinasambaza virusi vya Uviko-19, fahamu kuwa umedanganywa.

Shirika la Afya Duniani (WHO) limesema vifaa hivyo ni afua muhimu ya kujikinga na ugonjwa huo hasa katika maeneo ya umma ambayo watu hulazimika kushika vitu kama milango. 

WHO inasema ikiwa mtu amepaka kitaka mikono tayari unakuwa salama, hata akishika kifaa cha afua hiyo hawezi kupata virusi kwa sababu mikono yake imekuwa imetakaswa. 

“Ikiwa mtu atatumia kitakasa mikono kwenye mikusanyiko ya watu, hatari ya kupata wadudu ni ndogo na atasaidia kuwawezeka watu wengine salama,” imeeleza WHO katika ufanunuzi wake kuhusu uzushi huo. 

Ili kujikinga na ugonjwa huo ambao bado unaitesa dunia, wanshauriwa kupata chanjo na kuendelea kutumia vitakasa mikono, kuvaa barakoa, kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima na kunawa mikono kwa maji tiririka. 

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI WIZARA YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI

Nukta TV

Musukuma akosoa vikali Maafisa Maendeleo kusimamia, kukusanya madeni mikopo ya 10%

Musukuma akosoa vikali Maafisa Maendeleo kusimamia, kukusanya madeni mikopo ya 10%

Nukta TV

Nape, Kaiza wamkalia kooni waziri, sakata la michango holela mashuleni

Nape, Kaiza wamkalia kooni waziri, sakata la michango holela mashuleni

Nukta TV

BENEFIT FROM
Nukta ADS
Advertise with us to reach a wider audience with high conversion rates.
Other Nukta Africa Products
Nukta Habari
Stories that matter
Topics
Inuldge yourself with the topics in Nukta
All
Business
Africa
Contact
Tel
+255 750 881 888
Mail
newsroom@nukta.co.tz
Address
Mwananyamala kwa Kopa Dabe House Dar es Salaam TZ, 14108
Social Media

© 2024 Nukta Africa. All Rights Reserved.