Kunawa mikono kunavyosaidia kupunguza maambukizi ya COVID-19
June 30, 2021 1:45 pm ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Kama umekuwa ukipuuzia kufuata ushauri wa wataalam wa afya kuhusu kunawa mikono kwa maji tiririka mara kwa mara au kutumia kitakasa mikono ili kujikinga na COVID-19, anza leo
Tafiti zinaeleza kuwa kutumia kitakasa mikono au kunawa mikono kwa maji tiririka angalau mara 6 kwa siku kunapunguza hatari ya kupata COVID-19 kwa asilimia 36.

Latest
7 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
