Mfumuko wa bei washuka Tanzania
August 9, 2024 3:20 pm ·
Esau Ng'umbi
Kasi ya mfumuko wa bei za bidhaa na huduma nchini Tanzania kwa mwaka unaoishia Julai 2024 imepungua hadi asilimia 3 kutoka asilimia 3.1 iliyorekodiwa mwaka unaoishia Juni 2024.
Mfumuko wa bei wa Taifa hupima kiwango cha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma zote zinazotumiwa na kaya binafsi nchini.
Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
5 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
5 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →5 Jun, 2026