Matokeo kidato cha sita 2022 haya hapa
July 5, 2022 9:15 am ·
Mwandishi
- Matokeo hayo yametangazwa na Necta) leo Julai 5, 2022.
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2022 .
Matokeo hayo yametangazwa na Necta leo Julai 5, 2022.
Kupata matokeo ya kidato cha sita bonyeza hapa
Endelea kutufuatilia ili kupata habari zaidi kuhusu matokeo hayo.
Latest

21 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Gambo akubali yaishe, afuta kauli na kuomba radhi

21 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Aprili 24, 2025

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Walioomba ajira Jeshi la Polisi Tanzania waitwa kwenye usaili

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti ya Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora yapaa kwa asilimia 25.54