Matokeo kidato cha sita 2022 haya hapa
July 5, 2022 9:15 am ·
Mwandishi
- Matokeo hayo yametangazwa na Necta) leo  Julai 5, 2022.
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2022 .
Matokeo hayo yametangazwa na Necta leo  Julai 5, 2022.
Kupata matokeo ya kidato cha sita bonyeza hapaÂ
Endelea kutufuatilia ili kupata habari zaidi kuhusu matokeo hayo.