Matokeo kidato cha sita 2022 haya hapa
July 5, 2022 9:15 am ·
Mwandishi
- Matokeo hayo yametangazwa na Necta) leo Julai 5, 2022.
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha sita na ualimu kwa mwaka 2022 .
Matokeo hayo yametangazwa na Necta leo Julai 5, 2022.
Kupata matokeo ya kidato cha sita bonyeza hapa
Endelea kutufuatilia ili kupata habari zaidi kuhusu matokeo hayo.
Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
10 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
10 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →10 Jun, 2026