Matokeo kidato cha pili mwaka 2022 haya hapa
January 4, 2023 8:10 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Januari 2023 limetangaza matokeo ya mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili kwa mwaka 2022.
Endelea kutufuatilia tutakuletea undani wa matokeo hayo. Kupata matokeo bonyeza kiunganishi hiki
Latest
11 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Mwigulu: Kutangaza idadi ya vifo ni kutonesha vidonda vya Watanzania
11 hours ago
·
Fatuma Hussein
Ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake bado kitendawili duniani
18 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadili fedha Tanzania Novemba 25, 2025
1 day ago
·
Kelvin Makwinya
Fedha za sherehe ya uhuru kukarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29