Matokeo kidato cha pili mwaka 2022 haya hapa
January 4, 2023 8:10 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo Januari 2023 limetangaza matokeo ya mtihani wa Upimaji wa Kitaifa wa Darasa la Nne na Kidato cha Pili kwa mwaka 2022.
Endelea kutufuatilia tutakuletea undani wa matokeo hayo. Kupata matokeo bonyeza kiunganishi hiki
Latest
19 hours ago
·
Fatuma Hussein
Wasichana wang’ara matokeo darasa la nne, kidato cha pili
20 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Necta yatangaza matokeo ya darasa la nne, kidato cha pili ufaulu waongezeka kiduchu
20 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Matokeo darasa la nne, kidato cha pili haya hapa
2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Panda shuka za Paul Makonda katika siasa