Kitaeleweka: Waraghbishi waingilia kati wananchi kushiriki mikutano ya vijiji
April 30, 2022 9:06 am ·
Mwandishi
Pangani. Miaka ya nyuma, mahudhurio katika mikutano ya maendeleo ya vijiji vya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga yalikuwa hafifu, lakini baada ya waraghbishi kutoa hamasa kwa wananchi mambo yamebadilika.
Sasa mikutano hiyo inahudhuriwa kwa wingi huku wanaume kwa wanawake wakipata fursa ya kutoa maoni kuhusu maendeleo yao. Pia imekuwa njia nzuri ya kuibua na kutatua kero zao.
Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
5 Jun, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
5 Jun, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →5 Jun, 2026