Kitaeleweka: Waraghbishi waingilia kati wananchi kushiriki mikutano ya vijiji

April 30, 2022 9:06 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Pangani. Miaka ya nyuma, mahudhurio katika mikutano ya maendeleo ya vijiji vya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga yalikuwa hafifu, lakini baada ya waraghbishi kutoa hamasa kwa wananchi mambo yamebadilika.

Sasa mikutano hiyo inahudhuriwa kwa wingi huku wanaume kwa wanawake wakipata fursa ya kutoa maoni kuhusu maendeleo yao. Pia imekuwa njia nzuri ya kuibua na kutatua kero zao.

                       

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
8 Sep, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
8 Sep, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Mwanzo, mwisho sikia wasifu wa mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir.

Nukta TV

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Viongozi wa nchi, walivyomzika mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir

Nukta TV

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir Hassan afariki dunia leo Septemba 07, 2026

Nukta TV