Kitaeleweka: Waraghbishi waingilia kati wananchi kushiriki mikutano ya vijiji

April 30, 2022 9:06 am · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Pangani. Miaka ya nyuma, mahudhurio katika mikutano ya maendeleo ya vijiji vya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga yalikuwa hafifu, lakini baada ya waraghbishi kutoa hamasa kwa wananchi mambo yamebadilika.

Sasa mikutano hiyo inahudhuriwa kwa wingi huku wanaume kwa wanawake wakipata fursa ya kutoa maoni kuhusu maendeleo yao. Pia imekuwa njia nzuri ya kuibua na kutatua kero zao.

                       

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV