Hali ya ugonjwa wa Uviko-19 Barani Afrika
September 13, 2021 1:42 pm ·
Herimina
Dar es salaam. Janga la Uviko 19 limeendelea kutikisa dunia licha ya juhudi mbalimbali za kudhibiti ugonjwa huo ikiwemo utoaji wa chanjo.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Septemba 13, 2021 visa vya ugonjwa huo vimefikia milioni 224.4 duniani.
Bara la Afrika lina jumla ya visamilioni 5.8 vya ugonjwa huo na vifo 140,010.
Afrika kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa maambukizi ya Uviko 19 kwa barani Afrika, huku ikifikisha jumla ya visa milioni 2.8

Latest
8 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
Nukta Africa kuongoza mijadala ya AI, uandishi wa habari za takwimu Arusha
51 minutes ago
·
Kelvin Makwinya
TBL yatangaza gawio la Sh529 kwa hisa 2025
1 hour ago
·
Fatuma Hussein
Mkopo wa Sh53.09 bilioni ulivyokwamisha miradi ya maendeleo Wizara ya Madini
5 hours ago
·
Kelvin Makwinya
Soko la fedha za kigeni laonyesha utulivu, Dola ya Marekani yabaki Sh2,650