Hali ya ugonjwa wa Uviko-19 Barani Afrika
September 13, 2021 1:42 pm ·
Herimina
Dar es salaam. Janga la Uviko 19 limeendelea kutikisa dunia licha ya juhudi mbalimbali za kudhibiti ugonjwa huo ikiwemo utoaji wa chanjo.
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Septemba 13, 2021 visa vya ugonjwa huo vimefikia milioni 224.4 duniani.
Bara la Afrika lina jumla ya visamilioni 5.8 vya ugonjwa huo na vifo 140,010.
Afrika kusini ndiyo nchi inayoongoza kwa maambukizi ya Uviko 19 kwa barani Afrika, huku ikifikisha jumla ya visa milioni 2.8

Latest
6 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka