Hali ya ugonjwa wa Uviko-19 Barani Afrika

September 13, 2021 1:42 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Janga la Uviko 19 limeendelea kutikisa dunia licha ya juhudi mbalimbali za kudhibiti ugonjwa huo ikiwemo utoaji wa chanjo.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Septemba 13, 2021 visa vya ugonjwa huo vimefikia milioni 224.4 duniani.

Bara la Afrika lina jumla ya visamilioni 5.8 vya ugonjwa huo na vifo 140,010.

Afrika k​​​​usini ndiyo nchi inayoongoza kwa maambukizi ya Uviko 19 kwa barani Afrika, huku ikifikisha jumla ya visa milioni 2.8  

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
27 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
27 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
27 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Hizi ndio passport 5 zenye nguvu zaidi duniani

Nukta TV

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Hii ndio spirulina: Hazina ya maji inayoboresha afya za Watanzania

Nukta TV

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Mradi wa Sh4.6 bilioni kutoa ahueni ya umeme Lindi, Mtwara

Nukta TV