Hali ya ugonjwa wa Uviko-19 Barani Afrika

September 13, 2021 1:42 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Janga la Uviko 19 limeendelea kutikisa dunia licha ya juhudi mbalimbali za kudhibiti ugonjwa huo ikiwemo utoaji wa chanjo.

Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) hadi kufikia Septemba 13, 2021 visa vya ugonjwa huo vimefikia milioni 224.4 duniani.

Bara la Afrika lina jumla ya visamilioni 5.8 vya ugonjwa huo na vifo 140,010.

Afrika k​​​​usini ndiyo nchi inayoongoza kwa maambukizi ya Uviko 19 kwa barani Afrika, huku ikifikisha jumla ya visa milioni 2.8  

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

🔴LIVE: HOTUBA YA BAJETI, WIZARA YA MADINI IKIWASILISHWA BUNGENI

Nukta TV

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

🔴LIVE: RAIS SAMIA ANAZINDUA MELI YA KWANZA YA UVUVI WA BAHARI KUU

Nukta TV

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta Africa kuzindua Nukta AI, siku ya uhuru wa vyombo vya habari

Nukta TV