Dola, Euro na Pauni zaendelea kuimarika dhidi ya Shilingi Mei 28, 2026

May 28, 2026 8:39 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Dola ya Marekani (USD) kupitia Benki ya CRDB imenunuliwa kwa Sh2,585 na kuuzwa kwa Sh2,665.

Sarafu kuu za kimataifa zimeendelea kuonyesha nguvu dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Mei 28, 2026 ukilinganisha na Hali ilivyo kuwa katika wiki zilizopita.

Viwango vya ubadilishaji fedha kutoka Benki za CRDB na NMB  vinaonesha kupanda kwa sarafu hizo ikiwemo Dola ya Marekani, Euro pamoja na Pauni ya Uingereza.

Katika viwango vya leo, Dola ya Marekani (USD) kupitia Benki ya CRDB imenunuliwa kwa Sh2,585 na kuuzwa kwa Sh2,665, huku kupitia Benki ya NMB ikinumuliwa kwa Sh2,583 na kuuzwa kwa Sh2,663.

Mwenendo wa leo unaonyesha kuwa mahitaji ya sarafu za kigeni yanaendelea kuongezeka katika soko la ndani, hali inayoweza kuathiri gharama za biashara za kimataifa, usafirishaji wa bidhaa kutoka nje pamoja na huduma zinazotumia fedha za kigeni.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
10 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
10 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
10 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

130 wakamatwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu Tanzania

Nukta TV

Mfumuko wa bei Tanzania wapungua kwa 0.2%

Mfumuko wa bei Tanzania wapungua kwa 0.2%

Nukta TV

Rais Samia awaonya wanaharakati wenye matendo ya kigaidi

Rais Samia awaonya wanaharakati wenye matendo ya kigaidi

Nukta TV