Dhana potofu zinawazuia baadhi ya watu kujikinga na Corona

March 6, 2021 9:35 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuamini kuwa watoto hawawezi kupata Corona na kuwa kuvaa barakoa kunasababisha ukosefuwa hewa.

Dar es Salaam. Ugonjwa wa Corona ni kati ya masuala mtambuka kwa mataifa mengi duniani huku ukiacha majeraha ya moyo baada ya wapendwa wa baadhi ya watu kupoteza maisha.

Hata hivyo, vifo vinavyotokana na ugonjwa wa Corona bado siyo fundisho kwa baadhi ya watu kwani wengine wameendelea kupuuzia kanuni za kujikinga na ugonjwa huo na hivyo kusababisha kuongezeka kwa maambukizi na idadi ya vifo vinavyotokana na ugonjwa huo. 

Hivi karibuni, Mkurugenzi wa huduma za dharura wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dk Michael Ryan alisema, licha ya mataifa mengi kuweka juhudi za kukabiliana na Corona ikiwemo kufunga mipaka na kutoa chanjo, Corona inaweza isitokomezwe lkabisa mwaka huu.

Dk Ryan ameyasema hayo wakati akizungumza na vyombo vya habari Jijini Geneva nchini Uswisi huku akikiri kushangazwa na kuongezeka kwa idadi ya maambukizi katika nchi mbalimbali zikiwemo Marekani, nchi za Ulaya na Asia.

“Tunafanya kazi zaidi kuelewa hali ya kuongezeka kwa maambukizi. Mengine ni kwa sababu ya kulega kwa kuzingatiwa kwa kanuni za afya ya jamii na watu kuacha kuchukua tahadhari,” amesema Dk Ryan.

Je, ni dhana zipi ambazo huenda zikawa sababu ya kuendelea kuongezeka kwa maambukizi ya Corona? Tazama video hii kujifunza zaidi.

                          

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
15 Aug, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
16 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
16 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Rais Samia: AFCON ni fursa, wawekezaji karibuni kuwekeza

Nukta TV

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Utani wa Rais Samia, matokeo kati ya Simba na Yanga

Nukta TV

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Rais Samia awataka wananchi wa Kizimkazi kutunza miundombinu ya maji

Nukta TV