Corona bado yaitesa dunia

November 17, 2020 7:49 am · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link
  • Ugonjwa huo umeua watu zaidi ya milioni 1.3.
  • WHO yasisitiza watu kuchukua tahadhari za kujikinga dhidi ya ugonjwa huo. 

Dar es Salaam. Wakati chanjo ya Corona (COVID-19) ikiendelea kufanyiwa utafiti, Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) za hadi Novemba 16, 2020 zinaonyesha kuwa maambukizi ya ugonjwa huo yamefikia visa milioni 54.3 huku zaidi ya watu milioni 1.3 wakipoteza maisha. 

WHO inasisitiza watu kuendelea kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa mikono mara kwa mara na kutumia tishu wakati wa kukohoa au kupiga chafya.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
7 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
7 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV