Corona bado yaitesa dunia

November 17, 2020 7:49 am · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link
  • Ugonjwa huo umeua watu zaidi ya milioni 1.3.
  • WHO yasisitiza watu kuchukua tahadhari za kujikinga dhidi ya ugonjwa huo. 

Dar es Salaam. Wakati chanjo ya Corona (COVID-19) ikiendelea kufanyiwa utafiti, Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) za hadi Novemba 16, 2020 zinaonyesha kuwa maambukizi ya ugonjwa huo yamefikia visa milioni 54.3 huku zaidi ya watu milioni 1.3 wakipoteza maisha. 

WHO inasisitiza watu kuendelea kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa mikono mara kwa mara na kutumia tishu wakati wa kukohoa au kupiga chafya.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV