Bei ya ulezi yapaa Mtwara

September 5, 2024 5:01 pm · Davis Matambo
Share
Tweet
Copy Link

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi imepaa kufikia 400,000 kutoka 250,000 iliyorekodiwa Septemba 2, 2024 Mkoa wa Mtwara ikiongezeka kwa kiasi cha Sh150,000. Bei hii ni kubwa mara 6 ya bei ya chini iliyorekodiwa Ruvuma ambayo ni Sh60,000 tu.

Bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara sita zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh65,000 kwa gunia la kilo 100.

Mkoani Songea bei ya mahindi imeendelea kushuka na kufikia Sh38,000 kutoka Sh40,000 iliyouzwa Septemba 2, 2024. 

Mkoa wa Rukwa unaongoza kwa kuwa na bei za chini za mazao matatu ambayo ni Mchele unaouzwa Sh120,000, Viazi mviringo Sh55,000 na Ngano Sh65,000 kwa kila gunia la kilo 100.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
5 Jun, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
5 Jun, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Unaweza kusema ni maumivu juu ya maumivu kwa watumiaji wa vyombo vya moto vinavyotumia mafuta ya

Nukta TV

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Neema Mohamed, Mkurugenzi wa Bone and Blood Foundation, ni shujaa wa ugonjwa wa selimundu Sickl

Nukta TV

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametua kwenye ardhi ya Urusi kwa ziara ya kitaifa ya siku

Nukta TV