Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
November 13, 2024 5:14 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest
16 hours ago
·
Lucy Samson
BoT yatangaza nafasi za ajira 83
17 hours ago
·
Waandishi Wetu
Mapendekezo ya tume kudhibiti matumizi mseto ya ardhi Ngorongoro
1 day ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Machi 12, 2026
2 days ago
·
Fatuma Hussein
Mfahamu kiundani Profesa Costa Ricky Mahalu