Bei ya ulezi yapaa mkoani Pwani
November 13, 2024 5:14 pm ·
Fatuma Hussein

Bei ya gunia la kilo 100 la ulezi mkoani Pwani imepaa kufikia Sh230,000 ikiwa ni mara tatu zaidi ya bei ya gunia la kilo 100 iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh75,000.
Wakati Rukwa wakiendelea kuneemeka na bei ya ngano Lindi imeendelea kusalia Sh400,000 ambayo ni mara tano zaidi ya ile inayotumika mkoani Rukwa ya Sh70,000 kwa gunia la kilo 100.
Latest
4 hours ago
·
Waandishi Wetu
Sababu Kagera kununua mafuta kwa bei ya juu
6 hours ago
·
Fatuma Hussein
Viwango vya kubadilisha fedha Tanzania Januari 9, 2026
18 hours ago
·
Lucy Samson
Paul Makonda ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
22 hours ago
·
Goodluck Gustaph
Fahamu faida za kutumia mifumo rasmi ya fedha