Bei ya ulezi haikamatiki mkoani Mbeya

August 13, 2024 1:03 pm · Mlelwa Kiwale
Share
Tweet
Copy Link

Gunia la kilo 100 la ulezi linauzwa kwa bei ya juu katika mkoa wa Mbeya kwa Sh250,000, karibia mara 4 ya bei ya chini iliyorekodiwa Ruvuma ambayo ni Sh60,000 tu.

Enable Notifications OK No thanks