Bei ya viazi mviringo haishikiki mkoani Pwani
August 26, 2024 9:52 pm ·
Hemed Suleman

Gunia la kilo 100 la viazi mviringo linauzwa kwa bei ya juu katika mkoa wa Pwani kwa Sh160,000 ikiwa ni karibu mara tatu zaidi ya bei ya chini ya Sh60,000 iliyorekodiwa mkoani Rukwa.
Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
24 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →24 May, 2026