Bei ya viazi mviringo haishikiki mkoani Pwani
August 26, 2024 9:52 pm ·
Hemed Suleman

Gunia la kilo 100 la viazi mviringo linauzwa kwa bei ya juu katika mkoa wa Pwani kwa Sh160,000 ikiwa ni karibu mara tatu zaidi ya bei ya chini ya Sh60,000 iliyorekodiwa mkoani Rukwa.
Latest

1 day ago
·
Fatuma Hussein
Bajeti Wizara ya Maendeleo yaongezeka kwa asilimia 11.9

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Tanzania kujenga kituo cha upandikizaji figo kikubwa zaidi Afrika

2 days ago
·
Kelvin Makwinya
Mitandao ya kijamii fursa kukuza ujasiriamali

2 days ago
·
Fatuma Hussein
Serikali yapandisha bajeti Wizara ya Mambo ya Ndani kwa Sh357 bilioni