Ahueni: Bei ya viazi mviringo yashuka Singida

October 25, 2024 6:40 pm · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link

Kununua gunia la viazi mviringo la kilo 100 mkoani Sindiga itakulazimu kulipia Sh65,000 ambayo ni mara 2 zaidi ya bei ya juu iliyorekodiwa mkoani Kilimanjaro, Mara, Tanga, Songwe, Katavi, Pwani na Simiyu ya Sh150,000 kwa gunia la kilo 100.

Wakati mikoa hiyo ikifurahia bei hiyo, mkoani Lindi bei ya ngano bado imeng’ang’ania Sh400,000 kwa gunia la kilo 100 ambayo ni mara 5 zaidi ya ile iliyorekodiwa mkoani Rukwa ya Sh70,000.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
6 Aug, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
6 Aug, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
NISHATI

NISHATI

Nukta TV

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Utani wa Rais Samia kwa wachimba madini wa Katoro

Nukta TV

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Rais Samia: Misaada imepungua, tukaze buti

Nukta TV