Dola, Euro na Pauni zaendelea kuimarika dhidi ya Shilingi Mei 28, 2026

May 28, 2026 8:39 am · Fatuma Hussein
Share
Tweet
Copy Link
  • Dola ya Marekani (USD) kupitia Benki ya CRDB imenunuliwa kwa Sh2,585 na kuuzwa kwa Sh2,665.

Sarafu kuu za kimataifa zimeendelea kuonyesha nguvu dhidi ya Shilingi ya Tanzania leo Mei 28, 2026 ukilinganisha na Hali ilivyo kuwa katika wiki zilizopita.

Viwango vya ubadilishaji fedha kutoka Benki za CRDB na NMB  vinaonesha kupanda kwa sarafu hizo ikiwemo Dola ya Marekani, Euro pamoja na Pauni ya Uingereza.

Katika viwango vya leo, Dola ya Marekani (USD) kupitia Benki ya CRDB imenunuliwa kwa Sh2,585 na kuuzwa kwa Sh2,665, huku kupitia Benki ya NMB ikinumuliwa kwa Sh2,583 na kuuzwa kwa Sh2,663.

Mwenendo wa leo unaonyesha kuwa mahitaji ya sarafu za kigeni yanaendelea kuongezeka katika soko la ndani, hali inayoweza kuathiri gharama za biashara za kimataifa, usafirishaji wa bidhaa kutoka nje pamoja na huduma zinazotumia fedha za kigeni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

/
No matches found for this filter
28 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
28 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
28 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

🔴LIVE: RAIS SAMIA KWENYE MAHAFALI YA MAAFISA NA WAKAGUZI WASAIDIZI WA POLISI

Nukta TV

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

MFAHAMU SUZANA MUSSA, MAMA MZAZI WA HAYATI MAGUFULI

Nukta TV

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV