Zingatia haya unapotumia barakoa ya kitambaa

March 1, 2021 3:55 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwa makini na kitambaa kilichotumika pamoja na kupata barakoa inayofunika kwa ufanisi sehemu yamdomo na pua.

Dar es Salaam. Wataalamu wa afya na viongozi mbalimbali wameendelea kusisitiza juu ya matumizi ya barakoa kama mojawapo ya njia ya kupambana na ugonjwa wa Corona.

Kati ya barakoa zinazoshauriwa ni pamoja na zile zilizotengenezwa kwa kitambaa ili kupunguza gharama na ulazima wa kununua mara kwa mara barakoa ambazo hazidumu muda mrefu.

Hata hivyo, siyo kila kitambaa kinafaa kutumika kama malighafi ya kutengeneza barakoa. Uzingatie nini ili upate barakoa sahihi? Tazama video hii kufahamu zaidi.

                          

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV