Hifadhi ya chakula yaongezeka Tanzania

November 16, 2020 10:48 am · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni ile inayohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambayo imefikia   tani 109,733 kwa mwaka ulioishia Septemba 2020.

Dar es Salaam. Benki ya Tanzania (BoT) katika ripoti ya mapitio ya uchumi ya Oktoba 2020 imeeleza kuwa akiba ya chakula kwenye maghala ya  Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kwa mwaka ilioishia Septemba 2020 imefikia tani 109,733.

Hifadhi hiyo ndiyo kiwango kikubwa kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka mitano  iliyopita kwa mwaka unaoishia Septemba.

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
16 Jul, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
17 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
17 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Magonjwa haya matano yanayoongoza kwa kuua watu duniani

Nukta TV

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Mambo yakuzingatia kabla ujawasha gari lako asubuhi

Nukta TV

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Kutana na ‘Poultry Plucker’, mashine inayonyonyoa kuku watatu kwa dakika moja

Nukta TV