Hifadhi ya chakula yaongezeka Tanzania
November 16, 2020 10:48 am ·
Nuzulack Dausen
- Ni ile inayohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambayo imefikia tani 109,733 kwa mwaka ulioishia Septemba 2020.
Dar es Salaam. Benki ya Tanzania (BoT) katika ripoti ya mapitio ya uchumi ya Oktoba 2020 imeeleza kuwa akiba ya chakula kwenye maghala ya Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kwa mwaka ilioishia Septemba 2020 imefikia tani 109,733.
Hifadhi hiyo ndiyo kiwango kikubwa kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka mitano iliyopita kwa mwaka unaoishia Septemba.

Latest
5 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
6 days ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
6 days ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
