Hifadhi ya chakula yaongezeka Tanzania

November 16, 2020 10:48 am · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni ile inayohifadhiwa katika Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ambayo imefikia   tani 109,733 kwa mwaka ulioishia Septemba 2020.

Dar es Salaam. Benki ya Tanzania (BoT) katika ripoti ya mapitio ya uchumi ya Oktoba 2020 imeeleza kuwa akiba ya chakula kwenye maghala ya  Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) kwa mwaka ilioishia Septemba 2020 imefikia tani 109,733.

Hifadhi hiyo ndiyo kiwango kikubwa kuwahi kurekodiwa ndani ya miaka mitano  iliyopita kwa mwaka unaoishia Septemba.

Follow Us on TikTok

Subscribe to Our YouTube Channel

Subscribe

Loading videos...

Loading videos...

Loading videos...