Unayopaswa kuzingatia kabla ya kununua bidhaa za watoto

October 5, 2020 10:27 am · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni pamoja na kuwa makini katika kusoma maelekezo yaliyoandikwa kwenye bidhaa ambayo unanunua.
  • Epuka kununua bidhaa zenye harufu kali ili kumuepusha mtoto na matatizo ya mfumo wa upumuaji. 
  • Muone mtaalam wa afya akupe maelekezo ya baadhi ya bidhaa zitakazomfaa mtoto wako.

Dar es Salaam. Huenda mtoto wako anakabiliwa na changamoto mbalimbali za kiafya pasipo kujua chanzo chake. Matumizi ya baadhi ya bidhaa za ngozi yakiwemo mafuta yenye harufu kali ni sababu mojawapo. 

Baadhi ya bidhaa zikiwemo pafyumu zenye harufu kali huwafanya watoto kupata mafua na kushindwa kupumua vizuri. 

Kwa mujibu wa tovuti ya parenting.firstcry.com inayojihusisha na masuala ya watoto, malashi makali ya mzazi na hata yalipo kwenye bidhaa za mtoto yanaweza kumsababishaia mtoto changamoto kwenye mfumo wa upumuaji.

Ili kumuweka salama mtoto wako, tazama video hii kujifunza mambo ya kuzingatia wakati unanunua bidhaa za ngozi kwa ajili yake.

/
No matches found for this filter
26 May, 2026 · TZS
No forex gainers today
No forex losers today
26 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

🔴LIVE: KOMBO AKIWASILISHA BAJETI YA WIZARA YA MAMBO YA NJE BUNGENI 2026/2027

Nukta TV

JINSI WAHAMIAJI HARAMU WANAVYOONGEZEKA TANZANIA

JINSI WAHAMIAJI HARAMU WANAVYOONGEZEKA TANZANIA

Nukta TV

VIJANA WA TANZANIA KUNUFAIKA NA UCHUMI WA KIDIGITALI

VIJANA WA TANZANIA KUNUFAIKA NA UCHUMI WA KIDIGITALI

Nukta TV