Corona bado yaitesa dunia

November 17, 2020 7:49 am · Nuzulack Dausen
Share
Tweet
Copy Link
  • Ugonjwa huo umeua watu zaidi ya milioni 1.3.
  • WHO yasisitiza watu kuchukua tahadhari za kujikinga dhidi ya ugonjwa huo. 

Dar es Salaam. Wakati chanjo ya Corona (COVID-19) ikiendelea kufanyiwa utafiti, Takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO) za hadi Novemba 16, 2020 zinaonyesha kuwa maambukizi ya ugonjwa huo yamefikia visa milioni 54.3 huku zaidi ya watu milioni 1.3 wakipoteza maisha. 

WHO inasisitiza watu kuendelea kuchukua tahadhari kwa kuvaa barakoa, kunawa mikono mara kwa mara na kutumia tishu wakati wa kukohoa au kupiga chafya.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
26 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
26 May, 2026
No active movers today
Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

MIKOA 5 YA KIPOLISI INAYOONGOZA KWA MAKOSA BARABARANI

Nukta TV

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

SERIKALI YAKAMILISHA MAZUNGUMZO MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA

Nukta TV

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

🔴LIVE: KAPINGA AKIWASILISHA HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA 2026/2027 BUNGENI.

Nukta TV