VIDEO: Ufanye nini unaposafiri nje ya nchi wakati wa Corona?
November 24, 2020 7:11 am ·
Rodgers Raphael
Dar es Salaam. Kabla ya kusafiri kuelekea nje ya nchi, ni muhimu kufahamu kuwa baadhi ya nchi bado zina maambukizi makubwa ya ugonjwa wa Covid-19 hivyo inakupasa uchukue tahadhari.
Endapo unampango wa kusafiri kuelekea nchi yeyotehivi karibuni, hakikisha unauelewa wa hatua za kuchukua dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 na zaidi mbinu za kuepukana na kupata maambukizi ya ugonjwa huo. Tazama video hii kuelewa zaidi.
Latest
6 days ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026
1 week ago
·
Lucy Samson
ATCL yaripoti hasara ya Sh191.1 bilioni, CAG aanika sababu
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Rais Samia apokea ripoti CAG, TAKUKURU na PPRA aagiza utekelezaji wa haraka
