VIDEO: Ufanye nini unaposafiri nje ya nchi wakati wa Corona?
November 24, 2020 7:11 am ·
Rodgers Raphael
Dar es Salaam. Kabla ya kusafiri kuelekea nje ya nchi, ni muhimu kufahamu kuwa baadhi ya nchi bado zina maambukizi makubwa ya ugonjwa wa Covid-19 hivyo inakupasa uchukue tahadhari.
Endapo unampango wa kusafiri kuelekea nchi yeyotehivi karibuni, hakikisha unauelewa wa hatua za kuchukua dhidi ya ugonjwa wa Covid-19 na zaidi mbinu za kuepukana na kupata maambukizi ya ugonjwa huo. Tazama video hii kuelewa zaidi.
Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
30 May, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
30 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →30 May, 2026