VIDEO: Jinsi ya kujikinga na Corona msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka
- Kwa mujibu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia magonjwa barani Afrika (CDC), watu wanaweza kusherehekea sikukuu hizo lakini wanahitajika kuchukua tahadhari.
Dar es Salaam. Mwaka 2020 umekuja na mambo mengi lakini kubwa zaidi ni ugonjwa wa homa ya mapafu wa Corona.
Kuelekea katika msimu wa sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, huenda wapo watu ambao wapo njia panda juu ya kujikinga dhidi ya Corona wakati wakifurahia mapumziko.Â
​Kwa mujibu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia magonjwa barani Afrika (CDC), watu wanaweza kusherehekea sikukuu hizo lakini wanahitajika kuchukua tahadhari.Â
Ni tahadhari zipi hizo? Tazama video hii kuelewa.
            Â