Sababu za wanyama kuhusika katika utengenezaji wa chanjo ya Corona
January 2, 2021 7:34 am ·
Daniel Samson
Dar es Salaam. Zipo sababu mbalimbali zinazowafanya watafiti kutumia wanyama wakati wa utengenezaji wa chanjo mbalimbali ikiwemo ya COVID-19. Sababu mojawapo ni kuwa inawasaidia watafiti kufahamu kwa undani kuhusu ugonjwa husika na jinsi chanjo inavyoweza kufanya kazi ikianza kutumiwa na binadamu.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
30 May, 2026 · TZS
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
30 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →30 May, 2026