Wanachoweza kufanya wazazi kuwakinga watoto dhidi ya Corona

February 19, 2021 1:13 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Usalama wa watoto huenda ikawa ni changamoto kubwa kwa walimu, wazazi na hata wanajamii kwani huenda wengi wanaumiza vichwa kwa kujiuliza ni kwa namna gani watoto wanaoenda shule wanaweza kuchukua tahadhari dhidi ya Corona.

Hata hivyo, yote yanaweza kuanza nyumbani ambapo mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake jinsi ya kuchukua tahadhari.

Tazama video hii kufahamu namna mzazi au mlezi anaweza kumfundisha mtoto wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa Corona.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV