Unavyoweza kuepuka maambukizi ya Corona kupitia barakoa

March 25, 2021 2:40 pm · Rodgers Raphael
Share
Tweet
Copy Link
  • Ni kwa kuzingatia kanuni muhimu za matumizi ya  barakoa ikiwemo namna ya kuzitupa na kuzihifadhi.

Dar es Salaam. Wadau mbalimbali wa afya likiwemo Shirika la Afya Duniani (WHO) wameshauri  matumizi sahihi ya barakoa kama njia ya kujikinga na maambukizi ya Corona pale unapokuwa katika maeneno yaliyo na mkusanyiko na watu.

Hata hivyo, endapo barakoa haitotumika vizuri ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa moja kwa muda mrefu bila kufua au kuchangia barakoa na mtu mwingine inaweza kukupatia maambukizi.

Kupitia video hii, unaweza kujifunza njia mbalimbali za kuepuka maambukizi ya Corona pale unapokuwa unatumia barakoa.

/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
30 May, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
30 May, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

AKILI UNDE INAVYOIMARISHA HUDUMA ZA AFYA YA KINYWA NA MENO

Nukta TV

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

WAFAHAMU 'THE BIG FIVE' WA AFRIKA

Nukta TV

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

HIVI NDIVYO UNAWEZA KUSAFISHA MENO YAKO

Nukta TV