CAG katika namba: Matumizi, mapato ya Air Tanzania juu
April 21, 2021 6:10 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imebaini kuwa Shirika la Ndege la Tanzania (Air Tanzania) lilipata hasara ya Sh60 bilioni katika mwaka wa fedha wa 2019/20 na kwamba kwa miaka mitano iliyopita pia halikuweza kupata faida yeyote.
Hata hivyo, mapato na matumizi ya shirika hilo yamekuwa yakiongezeka katika kipindi hicho cha miaka mitano.

Similar News
ai.nukta.co.tz/discover →
/
Masoko
ai.nukta.co.tz/finance →
25 May, 2026 · TZS
Market Movers
ai.nukta.co.tz/finance →25 May, 2026