Hali halisi ya utoaji wa chanjo ya Corona duniani

June 23, 2021 6:09 am · Daniel Samson
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Mataifa mbalimbali ulimwenguni yanaendelea na zoezi la kutoa chanjo kwa raia wake ili kuwakinga na janga la Corona ambalo limeathiri shughuli mbalimbali zikiwemo za usafiri na kiuchumi jambo lililoleta changamoto katika utekelezaji wa sera za afya duniani.

Hadi kufikia Juni 21 mwaka huu, zaidi ya dozi milioni 2.5 za chanjo za Corona zimetolewa katika maeneo mbalimbali duniani huku vifo vinavyotokana na Covid-19 vikifikia milioni 3.8. Hii ndiyo hali halisi ya utoaji wa chanjo duniani kwa sasa:

Masoko & Zaidi
Loading…
No recent matches
No upcoming matches
/
No matches found for this filter
No forex gainers today
No forex losers today
Forex rates unavailable
6 Jul, 2026 · TZS
No gainers today
No losers today
6 Jul, 2026
No active movers today

Inaendeshwa na Nukta AI

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

MFUMUKO WA BEI kuendelea kuwa mdogo licha ya gharama za mafuta

Nukta TV

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Hali ya uchumi Tanzania: Makadirio ya ukuaji wa uchumi Bara 6%, Zanzibar 6.6%

Nukta TV

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

BoT: Yatangaza ongezeko la riba ya Benki kuu hadi 6.25%

Nukta TV