Kunawa mikono kunavyosaidia kupunguza maambukizi ya COVID-19

June 30, 2021 1:45 pm · Mwandishi
Share
Tweet
Copy Link

Dar es Salaam. Kama umekuwa ukipuuzia kufuata ushauri wa wataalam wa afya kuhusu kunawa mikono kwa maji tiririka mara kwa mara au kutumia kitakasa mikono ili kujikinga na COVID-19, anza leo

Tafiti zinaeleza kuwa kutumia kitakasa mikono au kunawa mikono kwa maji tiririka angalau mara 6 kwa siku kunapunguza hatari ya kupata COVID-19 kwa asilimia 36.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV