Yakuzingatiwa kwa watumiaji wa pombe wakati wa Uviko-19

October 27, 2021 12:04 pm · Herimina
Share
Tweet
Copy Link

Dar es salaam. Wakati mapambano ya Uviko-19 yakiendelea ni muhimu kwa watumiaji wa pombe kuzingatia mambo mbalimbali ya kiafya ili kutojiweka katika hatari ya kuambukizwa ugonjwa huo.

Mambo hayo ni pamoja na kuepuka unywaji wa pombe uliokithiri kwani pombe inaweza kusababisha kutofikiri vizuri hivyo kupunguza umakini wa kuchukua tahadhari dhidi ya Uviko-19.

Vile vile inashauriwa  kutokunywa  pombe saa nne hadi nane kabla na baada ya kuchanja chanjo ya Uviko-19.

Ikumbukwe kuwa  unywaji wa pombe hauui wala hauupatii mwilikinga dhidi ya virusi vya Uviko-19.

Follow us on TikTok

Nukta Habari

FOLLOW NOW
Subscribe to our channel

Nukta TV

SUBSCRIBE NOW
Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Rais Samia azindua minara 758, aacha maagizo mazito juu ya mkongo wa taifa

Nukta TV

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

JAJI MKUU: Njia za asili ni mojawapo ya njia halali za utatuzi wa migogoro

Nukta TV

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Hesabu ya bosi, bei ya mafuta pasua kichwa madereva wa daladala

Nukta TV