Jinsi ya kuishinda taharuki ya kirusi kipya cha Uviko-19
December 10, 2021 9:17 am ·
Mwandishi
Dar es Salaam. Kama wewe ni miongoni mwa watu ambao unahofia maisha yako kuhusu aina mpya ya kirusi cha Corona cha “Omicron” ambacho kimeripotiwa katika maeneo mbalimbali duniani. Fahamu kuwa mapambano dhidi ya kirusi hicho yanaendelea na hutakiwi kuwa na hofu, endelea na maisha yako kama kawaida.
Katika kipindi hiki, pata chanjo ya Uviko-19, vaa barakoa, nawa mikono na epuka mikusanyiko isiyo ya lazima.

Latest
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
Vodacom Tanzania yamwaga Sh70 bilioni kuboresha M-Pesa
1 week ago
·
Kelvin Makwinya
BoT yabakiza riba ya benki kuu 5.75% licha ya vita Mashariki ya Kati
1 week ago
·
Lucy Samson
Vita ya Mashariki ya Kati yazidi kupaisha bei ya petroli, dizeli Tanzania
2 weeks ago
·
Kelvin Makwinya
Viwango vya kubadili fedha Machi 31, 2026